MY DESTINY EP 14 | love story 💕 || House Boy

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2025
  • #housegirl #busatitv #bongomovies

Комментарии • 103

  • @Furaha-d4g
    @Furaha-d4g 6 месяцев назад +43

    Hii tamthilia ninzuri sana lakini mnakera na hawa walevi huku ju mnawapa nafasi kubwa sana,, kama uko pamoja na mm gonga like hapa ,,, much love from kenya ❤❤❤

    • @mwanakombopopo5117
      @mwanakombopopo5117 6 месяцев назад

      Tena wanakera sana 😂

    • @buru1235
      @buru1235 6 месяцев назад +1

      Mm narukisha wallai Kwanza huyo Wa domo kubwa jnm anaboo Sana😃😃🤦

    • @janekanini
      @janekanini 6 месяцев назад

      Kumbe ata wewe umekerwa kama mimi

    • @MamrF-v9v
      @MamrF-v9v 6 месяцев назад

      Pia mm wananikere nikifika kwahawa walevi narukisha Wana biboo mm

    • @Lydia-oy1cz
      @Lydia-oy1cz 6 месяцев назад

      Mm napenda walking styles 😂😂😂

  • @umaima1178
    @umaima1178 6 месяцев назад +3

    Huyu babu anavyo ongea kama yule robot wa bungeni 😂😂😂😂

  • @MikaerMikaerwilliam
    @MikaerMikaerwilliam 3 месяца назад +1

    Duh hongereni sanaaaaa

  • @JesloveOfficial-t6l
    @JesloveOfficial-t6l 6 месяцев назад +33

    Toka nianze fatilia hii move cjawah omba like leo naombeni jmn hat 5 tu

  • @DavidNgussa
    @DavidNgussa 6 месяцев назад +5

    Hii movie 🎥 ni nzuri sana lakin baadh ya matukio hawaonuesh yanavyo endelea. Kwafano kijana amekula chakula chenye sum lakin hawajatuonyesha namna wanavyo fanya jitihada za matibabu... Bt movie ina mvuto wa aina yakee

  • @MwakaMwadzombo
    @MwakaMwadzombo 6 месяцев назад +8

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Sania acha kulia kisa mapenzi

  • @SamouOman
    @SamouOman 6 месяцев назад +8

    sania nakupenda saaaaaan jomoni💯🌹🌹

  • @AshuraOscar-og9ed
    @AshuraOscar-og9ed 5 месяцев назад +2

    Candy njoo ushugulikie hawa paka wasio na wazazi wanazingua Sana hasa hili li keina

  • @rosechepkorir4998
    @rosechepkorir4998 5 месяцев назад +1

    Sania umechoka na mapenzi mama,C chiko C Tasha, C gonde sahi uko kwa kijana wa kzi waaa pole Sania kwababu ujawai pata patina ,wako

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba 6 месяцев назад +13

    Yaan huu movie duuh😂 hiki chumb ch sania ni chumb ch kai n candy kweny housegirl lkn sasa nashangaa tunaoneshw kw nje nyumb tofaut😂

    • @mwatukam7347
      @mwatukam7347 6 месяцев назад

      Duh mdada unamacho

    • @Zamzammusa-ve5tc
      @Zamzammusa-ve5tc 6 месяцев назад

      Unaona mbali dada😂😂😂😂

    • @EVELINEGATEGE
      @EVELINEGATEGE 6 месяцев назад

      Haichukui nafasi ya Daktar lakin inatoa wazo la kile unachoweza kujifunza😂what matter is content 😂

  • @evansahmed-gu8dh
    @evansahmed-gu8dh 6 месяцев назад +3

    right ningekuw mim lami ningefyek wote hasa huy keira arivy na nyxhi hivy

  • @StephanoCharles-d3v
    @StephanoCharles-d3v 6 месяцев назад +5

    Zuu nampenda

  • @Dj_Rays254
    @Dj_Rays254 6 месяцев назад +23

    Mimi sijawai pata ata like moja 😂 leo mnilikie ata kama n mbili tu 😂

  • @FastonElizeus-x3c
    @FastonElizeus-x3c 5 месяцев назад +1

    Ooooooooooo nzuri

  • @ErickMsamba
    @ErickMsamba 6 месяцев назад +1

    Lete miendlezo mungu jamni mbna kipande kmoja kimojaa kila sikuu

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 6 месяцев назад +1

    Hongereni sna kwa kazi nzuri 🎉

  • @buru1235
    @buru1235 6 месяцев назад +8

    Wallai nilisema kuwa Sania n dadake watakuwa maadui wa.kubwa Sana Yani hii Meji ndio bado mbichi 😀😀🫣

    • @FatumaBahatihassan
      @FatumaBahatihassan 6 месяцев назад

      Nakuunga mukono uwa dui razma utato kea

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 5 месяцев назад

      Wote hawa wanamtaka huyo Rammy

    • @buru1235
      @buru1235 5 месяцев назад

      @@نيجي-ن1د wallai bt siku hizi Sione update au kiliisha🙄

  • @abibukassim
    @abibukassim 5 месяцев назад +2

    Uyo mwananuk mweny lohoo mbay munip mim 2nawezan nae

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d 6 месяцев назад +4

    Hakika hii movie ni mzr san nimeipend san km uk na mm gong like ap

  • @Zeinabmea
    @Zeinabmea 5 месяцев назад +1

    Wapi like za mlevi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AliceOngiro
    @AliceOngiro 6 месяцев назад +13

    Leo pia nimejaribu sn wa sita 🎉naomba likes zenu pls😂😂😂

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 6 месяцев назад +5

    Wekijana wakazi siumuambie mzee kuhusu ao paka wake watakuuwa kwa wivu wamapenzi wakupa sumu ukaponea ujui amepangann

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 5 месяцев назад

      Mpuuzi sana huyu ngoja auliwe mwanzo

  • @MwanakomboHassan-kp8vy
    @MwanakomboHassan-kp8vy 6 месяцев назад +3

    Mapenzi yanauma bwana asikwambie mtu sania hajapata usingizi

  • @MpashiKennedy
    @MpashiKennedy 6 месяцев назад +1

    We mama wewe mbaya sana sikupendi ata kidogo

  • @salhatiddy
    @salhatiddy 5 месяцев назад +2

    Hv jaman 😭 samahan nini humu niwalize swali hzo like mnazo omba manazipelekag wap???????

  • @mwanaakidaomar4663
    @mwanaakidaomar4663 5 месяцев назад +1

    Wew sakina nae uvae sidiria ziwa moja chin moja juu ndio nin

  • @MwajumaKhamis-d5b
    @MwajumaKhamis-d5b 6 месяцев назад +14

    Sania unavaa nguo za uchi Sana unatudhalilisha Sana wanawake wenzio

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d 6 месяцев назад +3

    Gong like anae mkubl lamik

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 6 месяцев назад +7

    Sania hapendezi kua mtoto wa kishua ila za uswahilini uko vzr sana

    • @JudithMwinuka-i7x
      @JudithMwinuka-i7x 6 месяцев назад

      Kweli kabisaa 😅😅😅

    • @fatumamkuzi8051
      @fatumamkuzi8051 6 месяцев назад

      Amezowea kuchamb 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣na mimba yake y mganga

    • @JudithMwinuka-i7x
      @JudithMwinuka-i7x 6 месяцев назад

      @@fatumamkuzi8051 Yaaaan 🤣🤣🤣

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 6 месяцев назад +6

    Baba Zou uyo mwanamuke unaichi naye si shetani mahal watoto siwako mutoto Wako ni Zou tu amuka kwenye usingizi kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤ mapenzi yanauma kuliko yanavouma

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 6 месяцев назад +2

    Wewe baba zuu ebu amka katika uwo usingiz huyo si binadam unaish nà shetan mwenye mguu mmoja

  • @joyceMwaikusa
    @joyceMwaikusa 6 месяцев назад +6

    Mmetisha

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 6 месяцев назад +1

    Inamana pia unie nae azija mwenye pesa kumzidi utamuacha sania atauwawa na mahaba😂

  • @hassanammy4343
    @hassanammy4343 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤kaliii

  • @BrainesDastan
    @BrainesDastan 5 месяцев назад +1

    Kwani keina unataka rami mbona kama unawashea saana

  • @HusseinBarnabas
    @HusseinBarnabas 6 месяцев назад

    Mlev 😂😂😂 katieha sana

  • @PhilbertHabonimana-o1z
    @PhilbertHabonimana-o1z 6 месяцев назад +3

    My destin inanifunza kwel kabisa

  • @فراحهكينيا
    @فراحهكينيا 6 месяцев назад

    Mamake kirikuu leo amekasirika😅😅😅😅

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 6 месяцев назад +3

    Next ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IreneLudani
    @IreneLudani 6 месяцев назад +2

    Baba yake zuu sijakuelewa kabisa anachukuliaje jambo kubwa hivyo kirahisi rahisi jaman sijapenda kabisa alichokifanya bahati mbaya unakata mtu na panga 😮😢😢 weeee sio kweli

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 5 месяцев назад

      Lizee lenyewe limekaa tu kama zwazwa vile

  • @EVELINEGATEGE
    @EVELINEGATEGE 6 месяцев назад

    Mapenzi yooh😢nilikaa njaa siku nne kavu,kisa mapenzi kumbavu zangu mimi😢

  • @AGRIPINAGABRIEL-do2ed
    @AGRIPINAGABRIEL-do2ed 6 месяцев назад

    Nyie watoto mtaleta kaz kwa kwel yng macho🙄

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 6 месяцев назад +1

    Ila keinaaa izi tabia azikupendez kiukwel

  • @GloriaStefan-dw8ev
    @GloriaStefan-dw8ev 6 месяцев назад +1

    Kaz zuriui🎉❤

  • @anastaziaMzigo
    @anastaziaMzigo 6 месяцев назад +1

    Wakwanza leo😂😂😂😂😂

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 6 месяцев назад +1

    Huyu mama ni shetani wa mwisho maana hata hana haya na hao watoto huyu mzee si wake mtoto wake zuu ila ipo siku atakuja juta huyu mzee mimi mayeee aya🤔🤔🤔

  • @SwaumuJuma-d6t
    @SwaumuJuma-d6t 6 месяцев назад +2

    Uyo kijana mdogo mnagombania

  • @MussaGadiye
    @MussaGadiye 3 месяца назад

    Dah hapo me ninge mega wote tu😢

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 6 месяцев назад

    Nice movie ❤❤❤❤🎉🎉

  • @LinahNyagawa-sx3jo
    @LinahNyagawa-sx3jo 6 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉hongereni

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 6 месяцев назад +1

    Leo nimekuwa wa 8😊😊

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 6 месяцев назад +1

    Keina anaongea vibaya 😏😏😏

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 6 месяцев назад

    Keina kumbe iyoyote nnawe unamutaka lame pole sana sasa ukoinje hamuna wabwana mpaka mumushupaliye Lame nauku mukimuzarau mukimutusi eti mutumishi kumbe nakaroho cefu

  • @SabrahNibuka
    @SabrahNibuka 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤🎉watatu

  • @ORESTANZALIGO
    @ORESTANZALIGO 6 месяцев назад

    Ongezeni mudaa basii alafu hao walevii mnawapa muda mwingii wanafanya ya ovyoo

  • @MakameJuma-r3x
    @MakameJuma-r3x 6 месяцев назад

    Mov Kali lakini walevi

  • @Katinda-l1k
    @Katinda-l1k 6 месяцев назад +2

    Wakwanza leo

  • @PatriciaPatrick-ye7ov
    @PatriciaPatrick-ye7ov 6 месяцев назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aminamunga9030
    @aminamunga9030 6 месяцев назад +1

    Keyna umalaya kuolewa Aaaaaa

  • @HidayaHamisi-w5k
    @HidayaHamisi-w5k 6 месяцев назад +1

    Sijaelewa san

  • @AbdullaAbubakar-b6f
    @AbdullaAbubakar-b6f 6 месяцев назад

    Nikweli.walevi.wanakera

  • @AnnastaziaVicent
    @AnnastaziaVicent 6 месяцев назад

    Mmmhuuu jamani

  • @MohamedOmari-o6b
    @MohamedOmari-o6b 6 месяцев назад

    Lami namkubli ako fity

  • @BeatriceGacheri-l8o
    @BeatriceGacheri-l8o 5 месяцев назад

    Hii binaural lkin walevi dio nko na time kubwa

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow 6 месяцев назад +1

    Huyu mzee ni mume bwege

  • @MohamedOmari-o6b
    @MohamedOmari-o6b 6 месяцев назад

    Ubaya ubwela

  • @FaithMueni-h7y
    @FaithMueni-h7y 6 месяцев назад +2

    ❤❤

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa 6 месяцев назад +1

    Mbya kwel yaleo

  • @EnjoyJosephElikana
    @EnjoyJosephElikana 6 месяцев назад +1

    Sania unalombaya ww

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 6 месяцев назад +1

    Sasa wewe Rami umeperekwa namapenzi aho kazi

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 6 месяцев назад

      Acha uvururwe unayataka wewe

  • @DanielOnesmus-d9b
    @DanielOnesmus-d9b 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SarahMugisha-bh8yu
    @SarahMugisha-bh8yu 6 месяцев назад +1

    Munipe like hata moja😢

  • @shaabanmakame9162
    @shaabanmakame9162 6 месяцев назад +1

    ❤❤🎉🎉

  • @Jennifer-s8e2y
    @Jennifer-s8e2y 6 месяцев назад +1

    ❤🎉

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 6 месяцев назад +3

    Mwanamke anajupua kama jipu sura mbaya roho mbaya simpendi😅

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 6 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 6 месяцев назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @MichaelLutonja
    @MichaelLutonja 6 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @YafitaHasna
    @YafitaHasna 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤